Wadau mbalimbali wakiwemo Diwani wa Kata ya Pemba Mheshimiwa Coster Peter Reuben, viongozi wa Kijiji, Kamati ya Mazingira ya Kijiji na baadhi ya wanakijiji wa Masimba wamepata nafasi ya kushiriki warsha ya tathimini ya mapato ya biashara ya Kaboni iliyofanyika katika hoteli ya Ushetu, Turiani, Wilaya ya Mvomero tarehe 06/04/2025. Warsha hii ili lenga kutathimini...Read More